![Uhondo TV](/img/default-banner.jpg)
- 28 014
- 116 434 881
Uhondo TV
Tanzania
Приєднався 28 лип 2017
KANUNI NA MUONGOZO YA UHONDO TV
Uhondo TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote
ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi.
iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
MUONGOZO:
Wafuasi wetu (subscribers)
i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
ii. Uhondo TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu
iii. Uhondo TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.
iv. Uhondo TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
Uhondo TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote
ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi.
iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
MUONGOZO:
Wafuasi wetu (subscribers)
i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
ii. Uhondo TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu
iii. Uhondo TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.
iv. Uhondo TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
MBUNGE SAASHISHA AIBANA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA, SOKO LA NYAMA DUNIANI
#UhondoTV #Uhondo
Переглядів: 20
Відео
NDAISABA AILILIA SERIKALI MGOGORO WA ARDHI KATI YA GEREZA LA RUSUMO NA WANANCHI
Переглядів 9Годину тому
#UhondoTV #Uhondo
KEYSHA ACHARUKA AWAKINGIA KIFUWA WATU WENYE UALBINO "MIKAKATI AMBAYO TUMEIPANGA ITEKELEZWE"
Переглядів 422 години тому
#UhondoTV #Uhondo
SPIKA DKT. TULIA AWAFOKEA MAWAZIRI KISA UTORO BUNGENI, "NI UTARATIBU MBOVU"
Переглядів 3912 години тому
#UhondoTV #Uhondo
MBUNGE MWAKAMO ASIKITISHWA NA MAJIBU YA SERIKALI BUNGENI, SWALI ALILOULIZA ZAIDI YA MARA MOJA
Переглядів 402 години тому
#UhondoTV #Uhondo
TAARIFA KUBWA KUTOKA KENYA, RAIS RUTO ATOA TAMKO HILI USIKU HUU
Переглядів 2,9 тис.13 годин тому
TAARIFA KUBWA KUTOKA KENYA, RAIS RUTO ATOA TAMKO HILI USIKU HUU
TAMKO RASMI LA MWENYEKITI WA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO "TUFUNGUE MADUKA/ TUMUHESHIMU RAIS"
Переглядів 7 тис.15 годин тому
#UhondoTV #Uhondo
TAARIFA KUBWA KUMUHUSU RC MAKONDA ILIYOTUFIKIA LEO
Переглядів 1,1 тис.16 годин тому
TAARIFA KUBWA KUMUHUSU RC MAKONDA ILIYOTUFIKIA LEO
SPIKA DKT. TULIA ATOA UFAFANUZI SAKATA LA MPINA, AMPA MAAGIZO WAZIRI MKUU, "SIO HOJA YANGU BINAFSI"
Переглядів 8 тис.18 годин тому
#UhondoTV #Uhondo
GULAMALI ASHINDWA KUVUMILIA AMBANANISHA WAZIRI WA FEDHA "WAZIRI TOA FEDHA/ TUTAENDA KUWAMBIA NINI?''
Переглядів 62019 годин тому
#UhondoTV #Uhondo
MUNDE TAMBWE AUPIGA MWINGI BUNGENI AWAKINGIA KIFUA MACHINGA "TWENDE UKAKAGU SOKO LA MACHINGA"
Переглядів 21519 годин тому
#UhondoTV #Uhondo
"INATUPELEKA KUBAYA/ VIWANDA VINGI VYA SAMAKI VILIFUNGWA" MBUNGE ANGELINE MABULA
Переглядів 14920 годин тому
#UhondoTV #Uhondo
ALLY KASINGE AUNGURUMA BUNGENI ANENA "RAIS ALITOA MAELEKEZO/WAMEKUMBWA NA MAFURIKO HAWANA MAKAZI"
Переглядів 30120 годин тому
ALLY KASINGE AUNGURUMA BUNGENI ANENA "RAIS ALITOA MAELEKEZO/WAMEKUMBWA NA MAFURIKO HAWANA MAKAZI"
NUSRAT HANJE ASHINDWA KUJIZUIA "KUNASEHEMU HATUJAFANYA VIZURI LAZIMA TUSEME"
Переглядів 14720 годин тому
NUSRAT HANJE ASHINDWA KUJIZUIA "KUNASEHEMU HATUJAFANYA VIZURI LAZIMA TUSEME"
KILUMBE NG'ENDA ACHAFUKWA "HAIWEZEKANI/ SIUNGI MKONO/SISI TUNAJUA"
Переглядів 1,1 тис.21 годину тому
KILUMBE NG'ENDA ACHAFUKWA "HAIWEZEKANI/ SIUNGI MKONO/SISI TUNAJUA"
HALI NI TETE MBEYA, WAFANYABIASHARA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA
Переглядів 46221 годину тому
HALI NI TETE MBEYA, WAFANYABIASHARA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA
WAKILI AIBUA MAPYA SAKATA LA MPINA KUFUNGIWA, AJA NA UCHAMBUZI HUU WA KUTISHA
Переглядів 16 тис.21 годину тому
WAKILI AIBUA MAPYA SAKATA LA MPINA KUFUNGIWA, AJA NA UCHAMBUZI HUU WA KUTISHA
TAARIFA KUBWA MUDA HUU: ALBINO KUUAWA SASA BASI, MIKAKATI MIGUMU YAWEKWA HAIJAWAHI KUTOKEA
Переглядів 36623 години тому
TAARIFA KUBWA MUDA HUU: ALBINO KUUAWA SASA BASI, MIKAKATI MIGUMU YAWEKWA HAIJAWAHI KUTOKEA
OLE SENDEKA AWASHA MOTO MKALI BUNGENI, AIVAA SERIKALI KIUJUMLA JUMLA
Переглядів 2 тис.23 години тому
OLE SENDEKA AWASHA MOTO MKALI BUNGENI, AIVAA SERIKALI KIUJUMLA JUMLA
"MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGANJI HAIPO /TUNATENGENEZEWA NA WANASIASA" MWENYEKITI KIFUKO
Переглядів 1332 години тому
"MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGANJI HAIPO /TUNATENGENEZEWA NA WANASIASA" MWENYEKITI KIFUKO
MBUNGE TAUHIDA AJA JUU BAJETI KUU YA SERIKALI, "TUMESHINDWA KUWEKEZA KWENYE ELIMU"
Переглядів 4122 години тому
MBUNGE TAUHIDA AJA JUU BAJETI KUU YA SERIKALI, "TUMESHINDWA KUWEKEZA KWENYE ELIMU"
ASKOFU GWAJIMA AMKAANGA MPINA, "MDOGO WANGU UMEKOSEA, ALAANIWE/ OMBA MSAMAHA"
Переглядів 7 тис.2 години тому
ASKOFU GWAJIMA AMKAANGA MPINA, "MDOGO WANGU UMEKOSEA, ALAANIWE/ OMBA MSAMAHA"
KUNAMBI AMMWAMBIA UKWELI WAZIRI, "HUU MTEGO USIINGIE, NCHI NZIMA KUNA KERO, SIUNGI MKONO HOJA"
Переглядів 2,4 тис.2 години тому
KUNAMBI AMMWAMBIA UKWELI WAZIRI, "HUU MTEGO USIINGIE, NCHI NZIMA KUNA KERO, SIUNGI MKONO HOJA"
MBUNGE DKT. CHAYA, "SUKARI NI VITA, WACHUKULIWE HATUA KALI/ KUNA WATU WANAHUJUMU NCHI"
Переглядів 1,1 тис.2 години тому
MBUNGE DKT. CHAYA, "SUKARI NI VITA, WACHUKULIWE HATUA KALI/ KUNA WATU WANAHUJUMU NCHI"
MBUNGE CONDESTER AFOKA BUNGENI "WATU WANAGOMBANA, WAAMBIENI WANANCHI UKWELI, TUIFUTE HIYO KAULI"
Переглядів 1,1 тис.2 години тому
MBUNGE CONDESTER AFOKA BUNGENI "WATU WANAGOMBANA, WAAMBIENI WANANCHI UKWELI, TUIFUTE HIYO KAULI"
DKT. BASHIRU AMJIA JUU TABASAMU KISA MPINA, "NI MTETEZI WA WANYONGE, WABUNGE WAZALENDO TUKO WACHACHE
Переглядів 51 тис.2 години тому
DKT. BASHIRU AMJIA JUU TABASAMU KISA MPINA, "NI MTETEZI WA WANYONGE, WABUNGE WAZALENDO TUKO WACHACHE
"MPINA ANA NIA OVU, KAMA DALALI/ WANAFANYA BIASHARA KWA MASLAHI YAO" MBUNGE JACKLINE MSONGOZI
Переглядів 9002 години тому
"MPINA ANA NIA OVU, KAMA DALALI/ WANAFANYA BIASHARA KWA MASLAHI YAO" MBUNGE JACKLINE MSONGOZI
KIBAJAJI AMVAA VIKALI MPINA BUNGENI, "NITAENDA KUMSHTAKI KWENYE NEC, HALIKUBALIKI"
Переглядів 7942 години тому
KIBAJAJI AMVAA VIKALI MPINA BUNGENI, "NITAENDA KUMSHTAKI KWENYE NEC, HALIKUBALIKI"
MBUNGE MASACHE NJARU KASAKA AFUNGUKA BUNGENI, ALIA NA ISHU ZA KIKODI
Переглядів 2682 години тому
MBUNGE MASACHE NJARU KASAKA AFUNGUKA BUNGENI, ALIA NA ISHU ZA KIKODI
MBUNGE FIYAO ALIPUKA BUNGENI, ALIA NA SAKATA LA WAFANYABIASHARA, "NI RAHISI KUFILISIKA"
Переглядів 1682 години тому
MBUNGE FIYAO ALIPUKA BUNGENI, ALIA NA SAKATA LA WAFANYABIASHARA, "NI RAHISI KUFILISIKA"
Watu mishipa inawatoka kwa kutetea wala rushwa
❤
WANASHERIA WA NCHI HII NAWAOMBA MCHUKUE HATUA YA DHARULA KUMLINDA MH;LUHAGA MPINA
Mpina yupo sahihi,ila inaonekana hilodili lilikua na viongozi wakubwa hapa nchini ndiomaana alie na khaki kajikuta anatuhuma ya kujibu
anae chukia Giza hupenda kukaa nuruni kmnda makonda wew ni wakili wa Mungu songa mbele kmdhihirisha mfalme wa juu mbinguni
Wale wale 😂😂😂😂
Ni vizuri maduka yakafunguliwa. Si maduka yote yanafungwa. Maeneo ambayo maduka hayajafungwa sasa hivi wanauza sana. Hivyo ni vizuri tukawasikiliza viongozi wetu wa wafanyabiashara tufungue maduka.
Kama rais hamuheshimu mfanya biashara inakuaje mfanya biashara amuheshimu huyu mzanzibar
Big minds marvelous
Bado akuna unachokiongea sis km laia tumeshachoka na izo kodi za kila haina mpka maisha yamekua magum tunataka kodi ishuke asilimia 40% ibaki asilimia 60%
Kweli kamala kamala ya tarula hatutaki walikuwa wapi mpaka deni linafika 100000
Tunakuja
Bashir anasema nchii hii ni ya Ujamaa 😊😅😅
Mi nafikili mwigulu nafasiyako imekushinda jiudhulu tuachie nchi yetu unatuumiza sana
Dodoma tena mgomo dar solution dom 😂😂😂
Ukombozi wetu wananchi ni kugoma kujiandisha kupiga kura , na mda wao wa kututawala ukiisha wananchi wataamua
Wafanya biashara Wote Tanzania Tafuteni Mwenyekiti, huyo sie kabisa
Hyo siyo mwenyekiti,tayari ameungia kwenye mfumo😂😂
Huyu mwenyekiti mpumbavu sana ni chawa mkubwa sana,hawa viongozi hawafai kabisa
Wataheshimika pale ambapo matatizo ya walalamikaji yatafanyiwa kazi.... Alieshiba hamjui mwenye njaa kwakweli.....
Hivi Bado watu wanasikilza bunge na maisha tulivopigika tukomae kwenda kwenye nyumba za ibada ndo kuna majibu ya kweli amina
Mnalalamika kuwa faini ya M 15 usipotoa list eti ni kubwa mno,unawasiwasi gani kama wewe ni mwaminifu??hao wanaolalamika niwalewatoa rushwa kwamba hata akikamatwa hajatoa list na kwa vile faini ni ndogo anawezakuilipa au akashawishi atoekidogo kama rushwa.Serkali iliangaliehili faini ya M 15 ni sawakabisa.
Serikali ndo inatakiwa kuwabembeleza wananchi sio wananchi kubembeleza serikali,nasio ombi wala fadhila kwa serikali kutimiza majukumu yake ni lazima kutimiza wajibu wao
huyu anakula rushwaaa
uyu jamaa anakula rushwaaaa
M/kiti wawafanyabiashara sisi wafanyabiashara wenzio wawe wanatoa list,mimi huwanaumia sana ninaponunuakitu nibembeleze kupewa list au unaambiwa mtandao hauposawa.Naona mnataka mpate fair kwenye serkali ila nyinyi mnaiumiza serkali msipotoa list.
Bro kama hujajua ukitoa list kwa watu WENGI ndivyo serikali inakuona kwenye mfumo kwamba ww unauza sana pia unamahela sana wanakuongezea kodi
Duuu wabonge noma hamna kazi nyie huyu Wakili ni mzigo anatafuta kik hakuna jipya tafuteni kazi
Kiburi kwenye ela ya mtu acha ujinga ww acha kushobokea hao wanasiasa utaumia
Ccm ni ngenge la vibaka
Mbona leo umeongea pumba nyingi siku ile mulipoongea na waziri mkuu Kariakoo si alisema mambo yote yatashughurikiwa mbona bado yako pale pale vipi kuhusu yule mfanyabiashara aliyekuwa anaidai Tra milioni mia tisa toka utawala wa Magufuri kama ni wasikivu walimulipa na nilisikia ashakufa sasa unatutisha na sura ya pili ya Mama ndiyo nini sasa
Loo mungu utuhurumie. Tanzania ya nyerere imekuwa hivi ni aibu sana. Maslahi ya duniani hakuna atakayeondoka nayo. Wema tu. Apendaye fedha hatashiba fedha. Ndugu. Hazijawahi kujaa. Mwogopeni mungu.. madaraka ni kutumikia na sio kutumikiwa.
Mhhhh ndio mwenyekiti huyo tunayemtegemea awasemee watu, duh
Msifungue 😂 Machinga wapo watauzaa. Maana nyie mkifunga mnajikomo coz ao machinga mnawauzia nyie vitu ili wao wauzee usoni mwenu saivi imekuwa chungu😂
Tanzania wasema kweli hawahitajiki.
Kkooo ndio sehemu namba Moja kwa kutokulipa. Kodi ,mzigo wa milioni 3 unapewa risti ya 50,000/ namba Moja kwa kukwepa Kodi kkooo😊
Na wewe unayepokea risiti ya 50,000/- kwa mzigo wa mil.3/- umeripoti kwa TRA au polisi? Usiandike kutaka kunogesha soga, huo ni umbea!
Acheni msifungue hata mwaka
kuna uozo mkubwa, ilitakiwa hao mawaziri wajiuzuru
Mtien kamba huyu kichaa au au chawa
Umenena ukweli mbunge
❤
Kulikua na haja gani ya kushukuru wote ulowashukuru
Nchi ya wajomba
Mwindaji amekuwa mwindwa...the hunter being the hunted
Hayo maneno na ninyi ni zamu yenu kukaa nje .nchi imewashinda
Nyuma yaBashe kuna maafisadi wengiwakieemo wafanyabiashara nahataserikali nawanasiasa wanakisingizio chaetikumudharau spika huku nje wananchi tunaishangaa serikali kushambulianakudhalilisha viongoziwawananchi kwakuwa wabunge niwawakilishi wawananchi.
Bunge limewakosea sana wananchi kwa kumwonea aliesema ikweli mbunge mpina yuko sahihi juu ya alolisema mwenye kosa ni mwigulu na bashe ndo walitakiwa kuadhibiwa spika nae haeleweki ccm kwa ujumla hakuna cha maana mnachokijadili hapo ndani uonevu mtupu mungu awalaani nyinyi wote mliomwonea msema kweli
Sevice lev ni dhuruma kubwa, nakumbuka zamani hizo, choo cha soko tulikuwa hatulipii, soko lilifagiliwa na wahudumu wa soko, takataka,zilizolewa na wahudumu hao, hapo tulistahiri kulipa sevice lev, siku hizi kila kitu tunalipa wenyewe, sasa hiyo sevice lev nalipia kitu gani? Maana hakuna huduma nisiyolipia moja kwa moja!
Dable kick smati jini zina uwavijana ukudani selikali tuwe makini na taifa linaangamia
Uchawa mpina yupo timam